Monday 10 February 2025 - 17:36
Ripoti ya Picha | Wananchi wa Iran katika Maandamano ya "Bahman 22"

Mahudhurio makubwa na ya kustaajabisha ya watu wa Iran katika Maandamano ya "Bahman 22".

Kulingana na Shirika la Habari la Hawza, Wananchi wa Iran katika Maandamano ya "Bahman 22" (Ukumbusho wa Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran), wakiwa na mahudhurio mazuri na ya kustaajabisha, ambapo walipiga nara zao za uungaji mkono wao wa hali ya juu kwa Mapinduzi ya Kiislamu, kwa Kiongozi wa Mapinduzi na malengo Matukufu ya Mapinduzi haya, na kwa mara nyingine tena wakawakatisha tamaa maadui walioapa dhdi ya Uislamu, Qur'an na Mfumo wa Kiislamu, na wakawapiga ngumi kali mdomoni.

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha